Washirika wa DCU

Serikali Kuu

  • Idara ya Mjini na Mipango Vijijini
  • Mamlaka ya Kuendeleza na Kuhifadhi Mji Mkongwe
  • Mamlaka ya Usimamizi wa Mazingira ya Zanzibar (ZEMA)
  • Wakala wa Majengo Zanzibar
  • Bodi ya Wasanifu, Wahandisi wa Wataalam Zanzibar

  • Serikali za mtaa

  • Manispaa ya Mji wa Zanzibar
  • Baraza la Manispaa ya Wilaya yala Magharibi A
  • Baraza la Manispaa ya Wilaya ya Magharibi B
  • Baraza la Mji wa Chake-Chake
  • Baraza la Mji wa Wete
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kati
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kusini
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini A
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kaskazini B
  • Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni
  • Baraza la Mji wa Mkoani

  • Taasisi binafsi

  • Jumuiya ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Wakulima

  • DHAMIRA YA DCU



    Ni Kuongeza udhibiti wa maendeleo kupitia ufanisi, mfumo wa uwazi na shirikishi wa matumizi endelevu ya ardhi na maendeleo hapa Zanzibar

    Copyright ©2024 DCU