DCU ni taasisi ya kiserikali iliopo , chini ya Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati. Taasisi hii imeundwa na Mamlaka zote kumi na moja za Serikali za Mitaa ziliopo Zanzibar ambazo ni Manispaa ya Mjini, Magharibi A, Magharibi B, Baraza la Mji wa Chake Chake, Wete, Mkoani, Halmashauri ya Kusini, Kati, Kaskazini A, Kaskazini B, na Michweni pamoja na baadhi ya Taasisi za Serikali Kuu zinazohusiana na ujenzi ambazo ni Idara ya Mipango Miji, Mamlaka ya Kuendeleza na Kusimamia Mji Mkongowe, Wakala wa Majengo na Mamlaka ya Usimamizi wa Mazingira Zanzibar (ZEMA) pamoja na Jumuiya ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Wakulima Zanzibar pia ni sehemu ya DCU ikiwakilisha sekta binafsi.
Hadi, mwaka wa 2020, DCU iliundwa na Kamati ya wajumbe kumi na saba (17) na kamati mbili za kitaalamu ambazo ni:
Ni Kuongeza udhibiti wa maendeleo kupitia ufanisi, mfumo wa uwazi na shirikishi wa matumizi endelevu ya ardhi na maendeleo hapa Zanzibar
Copyright ©2023 DCU